Siku ya Blogu au Blogday ilibuniwa na nia kuwa wanablogu wanafaa kuwa na siku ambayo wataweza kuitumia kufahamiana na wanablogu wa nchi nyingine, wenye tamaduni tofauti au wanaoandika kuhusu mada tofauti tofauti .Siku hiyo wanablogu watachagua na kuwapendekeza hao wanablogu wenzao kwa wageni wanaotembelea tovuti zao
Siku hiyo Agosti 31 wanablogu duniani watabandika mapendekezo yao ya blogu tano - haswa zile ambazo ziko tofauti na desturi zao tamaduni, mwelekeo. Siku hii wanaovinjari blogu watajikuta wakigundua maswala mengi tofauti na blogu zisizojulikana, huku wakisherehekea kujua watu na wanablogu wapya.
Sherehekea!
Hi, I'm Nir Ofir. blogDay initiator.
Did you know that the majority of blog Readers read a very small number of top blogs? Is this social media?
I initiated the blogDay in 2005 with the belief that bloggers should have one day which will be dedicated to discover new blogs and expose them to the world. Celebrate with is in August 31st.
Contact me: nir.ofir (at) gmail (dot) com